Archive for May, 2005
Mambo Motomoto Ukumbi wa Vijana
Makala hii itakuwa ni moja kati ya kazi zangu nyingi sana ambazo zitakuwa zikiwagusa kwa undani sana vijana (wenzangu wa CCM, wanajua namaanisha hadi umri gani), kuhusiana na maisha yao ya kila siku na hasa katika harakati zao za kila siku za kupambana na gonjwa harati la UKIMWI.
Pamoja na mambo mbalimbali yatakayokuwemo katika kona hii, pia katika siku za karibuni utaweza kukutana na historia yangu kwa undani kiasi chake na nini hasa nimeweza kufanya katika harakati za kupambana na ukimwi. Je wajua kwanini niliamua kwenda kupima na unajua kuwa matokeo yangu yalikuwaje?, Basi kaa tayari kwa ajili ya kusoma kazi hii hivi karibuni.
Wakati tukiwa tunasubiri kwa hamu kazi hii, naomba tuendelee na kazi ambazo ziko tayari tukianzia na hii hapa.
Mambo Motomoto Ukumbi wa Vijana
Makala hii itakuwa ni moja kati ya kazi zangu nyingi sana ambazo zitakuwa zikiwagusa kwa undani sana vijana (wenzangu wa CCM, wanajua namaanisha hadi umri gani), kuhusiana na maisha yao ya kila siku na hasa katika harakati zao za kila siku za kupambana na gonjwa harati la UKIMWI.
Pamoja na mambo mbalimbali yatakayokuwemo katika kona hii, pia katika siku za karibuni utaweza kukutana na historia yangu kwa undani kiasi chake na nini hasa nimeweza kufanya katika harakati za kupambana na ukimwi. Je wajua kwanini niliamua kwenda kupima na unajua kuwa matokeo yangu yalikuwaje?, Basi kaa tayari kwa ajili ya kusoma kazi hii hivi karibuni.
Wakati tukiwa tunasubiri kwa hamu kazi hii, naomba tuendelee na kazi ambazo ziko tayari tukianzia na hii hapa.
MKUKUTA, MUHUMA, kitafuatia nini??
Duh, kwa ubingwa wa kuanzisha miradi na kuipa majina ya kuvutia kutamkwa, Watanzania hatujambo hakika. Awali tulikuwa na MKUKUTA na sasa tuna MUHUMA, sijui utafuata upi katika siku za karibuni.
MKUKUTA, MUHUMA, kitafuatia nini??
Duh, kwa ubingwa wa kuanzisha miradi na kuipa majina ya kuvutia kutamkwa, Watanzania hatujambo hakika. Awali tulikuwa na MKUKUTA na sasa tuna MUHUMA, sijui utafuata upi katika siku za karibuni.
Takrima Ni Kivuli cha Rushwa
Hii ni kazi mpya ambayo inapatikana katika kona yangu ya Mambo Mseto. Soma zaidi hapa
Takrima Ni Kivuli cha Rushwa
Hii ni kazi mpya ambayo inapatikana katika kona yangu ya Mambo Mseto. Soma zaidi hapa
Hongera Zao Liverpool
Ukweli ni kuwa hawawezi kuwa sawa na wale wa kwetu wa kule TMK, lakini hakika Liverpool ni vidume vya shoka. Kutoka nyuma ya goli tatu hadi kushinda kombe la UEFA, katika fainali ya aina yake iliyokuwa imejaa ufundi wa hali ya juu namna ile, halikuwa jambo la kawaida. Lakini wakati tukiwapongeza kwa ushindi huo, sisi Watanzania, na hasa viongozi wetu wa vilabu na vyama mbalimbali vya soka nchini TUMEJIFUNZA NINI?