Hawa ndio wabunge wetu, na haya ndio madudu yao
April 29, 2005 at 12:12 pm Leave a comment
Sakata la waheshimiwa wabunge wetu ambao tuliwateua kwenda kutuwakilisha katika chombo cha kutunga sheria (Bunge), la kuhusika katika tuhuma za kuwatafutia Visa wanawake wawili wa kisomali kwa ajili ya kuwapeleka ng’ambo, limezidi kuwa mjadala mkubwa nchini Tanzania toka Bunge lilipoamua kuwatimua hadi mwezi Agosti mwaka huu.
Siku moja baada ya kutimuliwa kwao, vyombo mbalimbali vya habari viliripoti tukio hilo. Soma kilichoandikwa siku hiyo katika magazeti ya Majira na Nipashe kisha utoe maoni yako kuhusiana na kashfa hii kubwa kuwahi kumkumba kiongozi wa ngazi hii.
Entry filed under: maskani.
Trackback this post | Subscribe to the comments via RSS Feed