Kichwa cha ajabu duniani
February 24, 2008
Unamjua mtu mwenye kumbukumbu za ajabu sana humu duniani? Mtu ambaye unaweza kumtajia tarehe fulani miaka kumi iliyopita na kisha baada ya sekunde tano akaanza kuielezea siku hiyo kuwa ilikuwa siku gani, ilianza vipi, alifanya nini na nini cha muhimu kilitokea siku hiyo?
Wanasayansi nchini Marekani wameanza kufanya uchunguzi wa kina juu ya uwezo wa kiakili/kumbukumbu wa raia mmoja wa nchi hiyo ambaye inasemekana kuwa ndiye binadamu mwenye uwezo wa ajabu wa kuwa na kumbukumbu kichwani mwake. Soma zaidi habari hii kwa kubonyeza hapa..
Entry Filed under: maskani. .
2 Comments Add your own
Leave a Comment
Some HTML allowed:
<a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <pre> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>
Trackback this post | Subscribe to the comments via RSS Feed

1.
luihamu | April 4, 2008 at 8:10 am
Mkuu Msangi,kama mmoja wa wadau wa JUMUWATA wengi wangependa kusoma taarifa fupi ya maendeleo ya JUMUWATA.
AMANI.
2.
Shortcake | June 18, 2008 at 8:27 pm
Somehow i missed the point. Probably lost in translation
Anyway … nice blog to visit.
cheers, Shortcake
.