Archive for February, 2008

Kichwa cha ajabu duniani

Unamjua mtu mwenye kumbukumbu za ajabu sana humu duniani? Mtu ambaye unaweza kumtajia tarehe fulani miaka kumi iliyopita na kisha baada ya sekunde tano akaanza kuielezea siku hiyo kuwa ilikuwa siku gani, ilianza vipi, alifanya nini na nini cha muhimu kilitokea siku hiyo?

 Wanasayansi nchini Marekani wameanza kufanya uchunguzi wa kina juu ya uwezo wa kiakili/kumbukumbu wa raia mmoja wa nchi hiyo ambaye inasemekana kuwa ndiye binadamu mwenye uwezo wa ajabu wa kuwa na kumbukumbu kichwani mwake. Soma zaidi habari hii kwa kubonyeza hapa..

2 comments February 24, 2008

Kilichomng’oa Lowasa madarakani

kwa marefu na mapana, naomba wasomaji wangu mpate fursa ya kupitia kitu kipya leo ambacho loicha ya kuwa si picha, lakini kimeleta picha mpya katika historia ya taifa la Tanzania. Namaanisha ripoti kuhusu kashfa ya Kampuni hewa ya kuzalisha Umeme iitwayo Richmond. Ripoti hiyo iliwasilishwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katikati ya wiki linaloelekea ukingoni, na kusababisha kishindo kikubwa sana katika medani za siasa za Tanzania.
Najua si wote mliiona ripoti hiyo ilipokuwa ikiwasilishwa Bungeni, na si wote mliosikia, na pia si wote mmeweza kuipata. Sasa kwa wale ambao hawakubahatika kote huko, naomba muipitie kwa kubonyeza hapa.

Add comment February 9, 2008


Bango la Matangazo & Wazo mahususi

Blogi Nyingine

Blogi za Katuni

Blogi za Picha

Malavidavi!

Mapishi

Mavazi & Mitindo

Vyombo vya Habari

wageni

Webu mseto

Blog Stats

 

February 2008
M T W T F S S
« Jan    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
2526272829  

Archives

Meta

Pages