Jamani nimeshindwa mnisamehe

September 8, 2007

Wakati natoa tangazo la kuhamisha kijiwe hiki toka kule blogspot, nilitangaza pia kuwa nimeanzisha kijiwe cha picha kupitia hukuhuku wordpress. naomba niseme kuwa nimechemka kupandisha picha katika wordpress.

Kutokana na hali hiyo basi, kijiwe cha picha mbalimbali nitakazokuwa nazipata huko mitaani ninakokatiza zitakuwa zikipatikana kupitia http://www.nilichokiona.blogspot.com/

Tayari kuna matukio kadhaa huko ambayo si busara ukiyakosa. Unajua ilikuwaje mpiganaji Mbowe alipotembelea jiji la Mbeya? Unajua kuwa basi la Sabco limechinja tena watu 27, ikiwa ni chini ya miezi miwili toka lichinje tena watu 12 mkoani Mbeya?

Tembelea kijiwe changu cha picha uyaone haya live. Bonyeza hapa.

Entry Filed under: Uncategorized. .

Leave a Comment

Required

Required, hidden

Some HTML allowed:
<a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <pre> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>

Trackback this post  |  Subscribe to the comments via RSS Feed


Bango la Matangazo & Wazo mahususi

Blogi Nyingine

Blogi za Katuni

Blogi za Picha

Malavidavi!

Mapishi

Mavazi & Mitindo

Vyombo vya Habari

wageni

Webu mseto

Blog Stats

 

September 2007
M T W T F S S
« Aug   Oct »
 12
3456789
10111213141516
17181920212223
24252627282930

Archives

Meta

Pages