<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
	xmlns:georss="http://www.georss.org/georss" xmlns:geo="http://www.w3.org/2003/01/geo/wgs84_pos#" xmlns:media="http://search.yahoo.com/mrss/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: Msaada jamani!!</title>
	<atom:link href="http://uchambuzi.wordpress.com/2007/08/11/msaada-wa-haraka-sana-unahitajika/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://uchambuzi.wordpress.com/2007/08/11/msaada-wa-haraka-sana-unahitajika/</link>
	<description>Heri walio wajinga, kuliko wale walio wapumbavu</description>
	<lastBuildDate>Wed, 18 Mar 2009 14:17:31 +0000</lastBuildDate>
	<generator>http://wordpress.com/</generator>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
		<item>
		<title>By: Rama Msangi</title>
		<link>http://uchambuzi.wordpress.com/2007/08/11/msaada-wa-haraka-sana-unahitajika/#comment-334</link>
		<dc:creator>Rama Msangi</dc:creator>
		<pubDate>Thu, 23 Aug 2007 09:55:26 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://uchambuzi.wordpress.com/2007/08/11/msaada-wa-haraka-sana-unahitajika/#comment-334</guid>
		<description>Kaka yangu Freddy, nashukuru sana kwa ujumbe na wito wako. Nitawasiliana na mzazi wa kijana huyu kwa njia ya simu kisha nitamwelekeza cha kufanya. Naamini atawaandikia kwasababu wanahitaji sana msaada wa kumsaidia kijana huyo. Wasamaria zaidi wanakaribishwa.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Kaka yangu Freddy, nashukuru sana kwa ujumbe na wito wako. Nitawasiliana na mzazi wa kijana huyu kwa njia ya simu kisha nitamwelekeza cha kufanya. Naamini atawaandikia kwasababu wanahitaji sana msaada wa kumsaidia kijana huyo. Wasamaria zaidi wanakaribishwa.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: freddy55</title>
		<link>http://uchambuzi.wordpress.com/2007/08/11/msaada-wa-haraka-sana-unahitajika/#comment-333</link>
		<dc:creator>freddy55</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 22 Aug 2007 22:55:19 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://uchambuzi.wordpress.com/2007/08/11/msaada-wa-haraka-sana-unahitajika/#comment-333</guid>
		<description>Ramadhani,
Pongezi sana kwa kutoa makala haya. Ingekuwa vizuri sana kama ungeweza kunitumia picha asilia niziweke katika blogu yangu kwa lugha ya Kiingereza. Maana wafadhili wengi hawasomi Kiswahili. 
Hapo hapo unaweza kutuma habari hizi katika anuani ifuatayo kwa ndugu na jamaa wa mtoto huyu wajaribu kuwaandikia hawa watu kutoka Tanzania maana ni rahisi zaidi kupata msaada ikiwa barua inatoka alipo mgonjwa na mapicha. Kampuni hii hapa chini inasaidia watoto wadogo duniani. 

FACING THE WORLD
5a London House
Serviced Offices
266 Fulham Road
London SW10 9EL
UINGEREZA.
Simu : (+44) 207- 352-0052 

Usisahau kunitumia picha na habari zaidi halafu nitaunganisha.

Barua pepe yangu: kitoto2004@yahoo.co.uk


Heko kwa kazi nzuri.

Ndimi
Freddy Macha</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ramadhani,<br />
Pongezi sana kwa kutoa makala haya. Ingekuwa vizuri sana kama ungeweza kunitumia picha asilia niziweke katika blogu yangu kwa lugha ya Kiingereza. Maana wafadhili wengi hawasomi Kiswahili.<br />
Hapo hapo unaweza kutuma habari hizi katika anuani ifuatayo kwa ndugu na jamaa wa mtoto huyu wajaribu kuwaandikia hawa watu kutoka Tanzania maana ni rahisi zaidi kupata msaada ikiwa barua inatoka alipo mgonjwa na mapicha. Kampuni hii hapa chini inasaidia watoto wadogo duniani. </p>
<p>FACING THE WORLD<br />
5a London House<br />
Serviced Offices<br />
266 Fulham Road<br />
London SW10 9EL<br />
UINGEREZA.<br />
Simu : (+44) 207- 352-0052 </p>
<p>Usisahau kunitumia picha na habari zaidi halafu nitaunganisha.</p>
<p>Barua pepe yangu: <a href="mailto:kitoto2004@yahoo.co.uk">kitoto2004@yahoo.co.uk</a></p>
<p>Heko kwa kazi nzuri.</p>
<p>Ndimi<br />
Freddy Macha</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>
