Muswada wa Habari ulioandaliwa na wadau

March 11, 2007

Hekaheka za wadau wa Habari nchini Tanzania, kukabana na wale wanaotaka kuinyongea mbali sekta hiyo muhimu, zinaendelea, tena kwa Kasi, Ari na Nguvu, kama zile wanazozitumia jamaa wanaotaka kuiua sekta hii. Katika kufanikisha hili, wadau wamekuja na mapendekezo yao ya Muswada, na bado wanakaribisha maoni zaidi ili kuuboresha. Usome muswada uliandaliwa na wadau, uko hapa.

Ule wa serikali vile uko sehemu gani jamani? Maana zile tovuti wanazotutajia kila siku zinakuwa ama hazipatikani, au hazina kitu hicho.

Entry Filed under: maskani. .

1 Comment Add your own

  • 1. ndesanjo  |  March 20, 2007 at 7:03 pm

    Usiwe na shaka. Uendelee kutuelimisha juu ya hizi aya za kidikteta wanazoziita muswada wa habari.

Leave a Comment

Required

Required, hidden

Some HTML allowed:
<a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <pre> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>

Trackback this post  |  Subscribe to the comments via RSS Feed


Bango la Matangazo & Wazo mahususi

Blogi Nyingine

Blogi za Katuni

Blogi za Picha

Malavidavi!

Mapishi

Mavazi & Mitindo

Vyombo vya Habari

wageni

Webu mseto

Blog Stats

 

March 2007
M T W T F S S
« Feb   May »
 1234
567891011
12131415161718
19202122232425
262728293031  

Archives

Meta

Pages