Muswada wa Habari ulioandaliwa na wadau
March 11, 2007
Hekaheka za wadau wa Habari nchini Tanzania, kukabana na wale wanaotaka kuinyongea mbali sekta hiyo muhimu, zinaendelea, tena kwa Kasi, Ari na Nguvu, kama zile wanazozitumia jamaa wanaotaka kuiua sekta hii. Katika kufanikisha hili, wadau wamekuja na mapendekezo yao ya Muswada, na bado wanakaribisha maoni zaidi ili kuuboresha. Usome muswada uliandaliwa na wadau, uko hapa.
Ule wa serikali vile uko sehemu gani jamani? Maana zile tovuti wanazotutajia kila siku zinakuwa ama hazipatikani, au hazina kitu hicho.
Entry Filed under: maskani. .
1 Comment Add your own
Leave a Comment
Some HTML allowed:
<a href="" title=""> <abbr title=""> <acronym title=""> <b> <blockquote cite=""> <cite> <code> <pre> <del datetime=""> <em> <i> <q cite=""> <strike> <strong>
Trackback this post | Subscribe to the comments via RSS Feed

1.
ndesanjo | March 20, 2007 at 7:03 pm
Usiwe na shaka. Uendelee kutuelimisha juu ya hizi aya za kidikteta wanazoziita muswada wa habari.