Archive for March 11th, 2007
Muswada wa Habari ulioandaliwa na wadau
Hekaheka za wadau wa Habari nchini Tanzania, kukabana na wale wanaotaka kuinyongea mbali sekta hiyo muhimu, zinaendelea, tena kwa Kasi, Ari na Nguvu, kama zile wanazozitumia jamaa wanaotaka kuiua sekta hii. Katika kufanikisha hili, wadau wamekuja na mapendekezo yao ya Muswada, na bado wanakaribisha maoni zaidi ili kuuboresha. Usome muswada uliandaliwa na wadau, uko hapa.
Ule wa serikali vile uko sehemu gani jamani? Maana zile tovuti wanazotutajia kila siku zinakuwa ama hazipatikani, au hazina kitu hicho.
1 comment March 11, 2007
